Matendo 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+ Ufunuo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+
20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+
19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+