Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+ Kutoka 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi nami, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami hakika nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+ Methali 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu mwovu ameufanya uso wake kuwa mgumu,+ lakini mtu mnyoofu ndiye atakayefanya njia zake imara.+ Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+
3 Mimi nami, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami hakika nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+