Waamuzi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+ Waamuzi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+ Ezekieli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa wana wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Hao wenyewe na mababu zao wamenitendea makosa mpaka siku hii ya leo.+
4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+
8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+
3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa wana wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Hao wenyewe na mababu zao wamenitendea makosa mpaka siku hii ya leo.+