15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+
7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+