Kumbukumbu la Torati 32:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+ Waamuzi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+ Waamuzi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+
16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+
12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+
4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+