19 Ndipo malaika+ wa Mungu wa kweli aliyekuwa akienda mbele ya kambi ya Israeli akaondoka na kwenda nyuma, nayo nguzo ya wingu ikaondoka mbele yao na kusimama nyuma yao.+
12 Kwa maana hamtaondoka na wasiwasi, wala hamtaenda kwa kukimbia.+ Kwa maana Yehova atakuwa akienda mbele yenu,+ na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wenu wa nyuma.+