21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+
15 Na iwe kwamba, utakaposikia sauti ya mwendo juu ya miti ya mibaka,+ ndipo utoke, uingie katika pigano,+ kwa sababu Mungu wa kweli atakuwa ametoka kwenda mbele yako+ kuipiga kambi ya Wafilisti.”