Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo malaika+ wa Mungu wa kweli aliyekuwa akienda mbele ya kambi ya Israeli akaondoka na kwenda nyuma, nayo nguzo ya wingu ikaondoka mbele yao na kusimama nyuma yao.+

  • Hesabu 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa katika siku ya kusimamisha maskani+ wingu lilifunika maskani ya hema la Ushuhuda,+ lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto+ kilikaa juu ya maskani hiyo mpaka asubuhi.

  • Kumbukumbu la Torati 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 aliyekuwa akienda mbele yenu njiani ili kupeleleza mahali kwa ajili yenu ili mpige kambi,+ kwa moto wakati wa usiku ili mwione njia mnayopaswa kuitembea na kwa wingu wakati wa mchana.+

  • Nehemia 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe ukawaongoza kwa nguzo ya wingu wakati wa mchana,+ na kwa nguzo ya moto wakati wa usiku,+ ili kuwaangazia+ njia wanayopaswa kuipitia.

  • Zaburi 99:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika nguzo ya wingu aliendelea kusema nao.+

      Walishika vikumbusho vyake na sharti alilowapa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki