Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+

      Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+

      Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+

  • Kutoka 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+

  • Hesabu 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe tukamlilia Yehova+ naye akaisikia sauti yetu na kumtuma malaika,+ akatutoa Misri; na tazama, tuko hapa Kadeshi, jiji lililo kwenye mpaka wa eneo lako.

  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki