7 Na wana wa Israeli wakazaa na kuanza kujaa; nao wakazidi kuongezeka na kuwa wenye nguvu zaidi kwa kiwango kisicho cha kawaida, hivi kwamba wakaijaza nchi.+
37 Hizo ndizo zilizokuwa familia za wana wa Efraimu,+ za walioandikishwa kati yao: 32,500. Hao ndio waliokuwa wana wa Yosefu kulingana na familia zao.+