5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+
17 “Wakati ulipokuwa ukikaribia kwa ajili ya utimizo wa ahadi ambayo Mungu alikuwa amemtangazia Abrahamu waziwazi, watu wakaongezeka na kuzidi katika Misri,+