Mwanzo 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Kupitia kwako Israeli na atangaze baraka tena na tena, akisema,‘Mungu na akufanye wewe uwe kama Efraimu na kama Manase.’”+ Hivyo akaendelea kumweka Efraimu mbele ya Manase.+ Yoshua 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo Yoshua akaiambia hivi nyumba ya Yosefu, Efraimu na Manase: “Ninyi ni watu wengi sana, nanyi mna nguvu nyingi.+ Hampaswi kupata kura moja,+
20 Naye akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Kupitia kwako Israeli na atangaze baraka tena na tena, akisema,‘Mungu na akufanye wewe uwe kama Efraimu na kama Manase.’”+ Hivyo akaendelea kumweka Efraimu mbele ya Manase.+
17 Kwa hiyo Yoshua akaiambia hivi nyumba ya Yosefu, Efraimu na Manase: “Ninyi ni watu wengi sana, nanyi mna nguvu nyingi.+ Hampaswi kupata kura moja,+