Yoshua 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ndipo wana wa Yosefu wakasema na Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umenipa kura+ moja na fungu moja kuwa urithi wangu, ingawa mimi nina watu wengi sana kwa kuwa Yehova amenibariki mpaka sasa?”+
14 Na ndipo wana wa Yosefu wakasema na Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umenipa kura+ moja na fungu moja kuwa urithi wangu, ingawa mimi nina watu wengi sana kwa kuwa Yehova amenibariki mpaka sasa?”+