Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini baba yake akaendelea kukataa, akisema: “Najua, mwanangu, najua. Yeye pia atakuwa kikundi cha watu naye pia atakuwa mkuu.+ Lakini, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye,+ nao uzao wake utakuwa hesabu kamili ya mataifa.”+

  • Hesabu 26:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hizo ndizo zilizokuwa familia za Manase, nao walioandikishwa kati yao walikuwa 52,700.+

  • Hesabu 26:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Hizo ndizo zilizokuwa familia za wana wa Efraimu,+ za walioandikishwa kati yao: 32,500. Hao ndio waliokuwa wana wa Yosefu kulingana na familia zao.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+

      Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+

      Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+

      Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,

      Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

      Nao ni maelfu ya Manase.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki