Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+

  • Hesabu 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 wale walioandikishwa kati yao wa kabila la Efraimu+ walikuwa 40,500.+

  • Hesabu 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 wale walioandikishwa kati yao wa kabila la Manase walikuwa 32,200.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+

      Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+

      Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+

      Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,

      Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

      Nao ni maelfu ya Manase.”

  • Yeremia 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watakuja wakilia,+ nami nitawaleta wakiwa na maombi yao ya kusihi wakitaka kibali. Nitawatembeza kwenye mabonde ya mito ya maji,+ katika njia iliyo sawa ambayo ndani yake hawatakwazwa. Kwa maana mimi nimekuwa Baba kwa Israeli;+ naye Efraimu, yeye ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki