17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+
Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+
Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+
Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,
Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+
Nao ni maelfu ya Manase.”