Mwanzo 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+ Mwanzo 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha malaika wa Mungu wa kweli akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo!’ nikajibu nikasema, ‘Mimi hapa.’+ Kutoka 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe katika fadhili zako zenye upendo umewaongoza watu ambao umewakomboa;+Wewe katika nguvu zako hakika utawaongoza mpaka kwenye makao yako matakatifu.+ Ayubu 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami mwenyewe najua vema kwamba mkombozi wangu+ yuko hai,Na kwamba, akija baada yangu, yeye atasimama+ juu ya mavumbi. Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+
15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+
11 Kisha malaika wa Mungu wa kweli akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo!’ nikajibu nikasema, ‘Mimi hapa.’+
13 Wewe katika fadhili zako zenye upendo umewaongoza watu ambao umewakomboa;+Wewe katika nguvu zako hakika utawaongoza mpaka kwenye makao yako matakatifu.+
25 Nami mwenyewe najua vema kwamba mkombozi wangu+ yuko hai,Na kwamba, akija baada yangu, yeye atasimama+ juu ya mavumbi.