24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia+ ambayo Kristo Yesu alilipa.
30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+