Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+

      Mimi nitangojea siku zote za kazi yangu ya kulazimishwa,+

      Mpaka kitulizo changu kije.+

  • Zaburi 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+

      Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+

  • Zaburi 69:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Njoo karibu na nafsi yangu, uiokoe;+

      Kwa sababu ya adui zangu, unikomboe.+

  • Zaburi 103:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+

      Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+

  • Methali 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki