Waroma 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+ Waebrania 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+ Yakobo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninyi pia onyesheni subira;+ fanyeni mioyo yenu kuwa imara, kwa sababu kuwapo kwa Bwana kumekaribia.+
20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+
13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+
8 Ninyi pia onyesheni subira;+ fanyeni mioyo yenu kuwa imara, kwa sababu kuwapo kwa Bwana kumekaribia.+