1 Wathesalonike 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kusudi afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika+ katika utakatifu mbele za Mungu na Baba yetu wakati wa kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.+
13 kusudi afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika+ katika utakatifu mbele za Mungu na Baba yetu wakati wa kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.+