1 Wathesalonike 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+ 1 Wathesalonike 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 2 Wathesalonike 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, akina ndugu, kwa habari ya kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba ninyi
19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+
23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+
2 Hata hivyo, akina ndugu, kwa habari ya kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba ninyi