1 Wakorintho 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+ Wafilipi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,
8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+
10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,