Waroma 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa. Waroma 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+
13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa.
21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+