Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini.

  • Zaburi 39:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,

      Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+

      Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+

      Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+

      Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+

  • Waefeso 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hakika, basi, ninyi si wageni+ tena na wakaaji wageni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu+ na ni washiriki wa nyumba+ ya Mungu,

  • 1 Petro 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki