1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini. Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+ Waefeso 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hakika, basi, ninyi si wageni+ tena na wakaaji wageni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu+ na ni washiriki wa nyumba+ ya Mungu, 1 Petro 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini.
12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+
19 Hakika, basi, ninyi si wageni+ tena na wakaaji wageni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu+ na ni washiriki wa nyumba+ ya Mungu,
11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+