Mambo ya Walawi 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+ Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+
23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+
12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+