1 Wafalme 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Nabothi akamwambia Ahabu: “Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu.”+ Ezekieli 48:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao hawapaswi kuuza sehemu yoyote kati ya hiyo, wala mtu hapaswi kubadilishana, wala mtu hapaswi kuacha sehemu bora zaidi ya nchi itoke kwao; kwa maana hicho ni kitu kitakatifu kwa Yehova.+
3 Lakini Nabothi akamwambia Ahabu: “Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu.”+
14 Nao hawapaswi kuuza sehemu yoyote kati ya hiyo, wala mtu hapaswi kubadilishana, wala mtu hapaswi kuacha sehemu bora zaidi ya nchi itoke kwao; kwa maana hicho ni kitu kitakatifu kwa Yehova.+