-
Ezekieli 48:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Hawapaswi kuuza, kubadilisha, au kumpa mtu mwingine eneo lolote la sehemu hii bora ya nchi, kwa maana ni kitu kitakatifu kwa Yehova.
-