Ezekieli 48:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao hawapaswi kuuza sehemu yoyote kati ya hiyo, wala mtu hapaswi kubadilishana, wala mtu hapaswi kuacha sehemu bora zaidi ya nchi itoke kwao; kwa maana hicho ni kitu kitakatifu kwa Yehova.+
14 Nao hawapaswi kuuza sehemu yoyote kati ya hiyo, wala mtu hapaswi kubadilishana, wala mtu hapaswi kuacha sehemu bora zaidi ya nchi itoke kwao; kwa maana hicho ni kitu kitakatifu kwa Yehova.+