Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+

  • Hesabu 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hakuna urithi wowote wa wana wa Israeli unaopaswa kuzunguka kutoka kabila moja mpaka kabila lingine, kwa sababu wana wa Israeli wanapaswa kushikamana kila mmoja wao na urithi wa kabila la mababu zake.

  • Ezekieli 46:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye mkuu hatachukua urithi wowote wa watu ili kuwalazimisha waondoke katika miliki yao.+ Atawapa wanawe urithi kutoka kwenye miliki yake mwenyewe, ili watu wangu wasitawanyike kila mmoja mbali na miliki yake.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki