9 Basi Yakobo akamwambia Farao: “Siku za miaka ya makao yangu katika nchi ya kigeni ni miaka 130.+ Zimekuwa chache na zenye kutaabisha,+ nazo hazijafikia siku za miaka ya maisha ya baba zangu, siku za makao yao katika nchi ya kigeni.”+
13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+