Ayubu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako. Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+