Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nitawapa ukumbusho+ na jina+ katika nyumba yangu+ na katika kuta zangu, jambo lililo bora kuliko wana na mabinti.+ Nitawapa jina mpaka wakati usio na kipimo,+ ambalo halitakatiliwa mbali.+

  • 1 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini nikichelewa, ili ujue jinsi unavyopaswa kujiendesha katika nyumba ya Mungu,+ ambayo ni kutaniko la Mungu aliye hai, nguzo na tegemezo+ la ile kweli.

  • Waebrania 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki