5 “Nitawapa ukumbusho+ na jina+ katika nyumba yangu+ na katika kuta zangu, jambo lililo bora kuliko wana na mabinti.+ Nitawapa jina mpaka wakati usio na kipimo,+ ambalo halitakatiliwa mbali.+
15 lakini nikichelewa, ili ujue jinsi unavyopaswa kujiendesha katika nyumba ya Mungu,+ ambayo ni kutaniko la Mungu aliye hai, nguzo na tegemezo+ la ile kweli.
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+