Isaya 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Huyu atasema: “Mimi ni wa Yehova.”+ Yule naye atajiita kwa jina la Yakobo,+ na mwingine ataandika juu ya mkono wake: “Mali ya Yehova.” Na mwingine atajiita kwa jina la Israeli.’+ Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+
5 Huyu atasema: “Mimi ni wa Yehova.”+ Yule naye atajiita kwa jina la Yakobo,+ na mwingine ataandika juu ya mkono wake: “Mali ya Yehova.” Na mwingine atajiita kwa jina la Israeli.’+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+