2 Wakorintho 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Waefeso 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hakika, basi, ninyi si wageni+ tena na wakaaji wageni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu+ na ni washiriki wa nyumba+ ya Mungu,
16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
19 Hakika, basi, ninyi si wageni+ tena na wakaaji wageni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu+ na ni washiriki wa nyumba+ ya Mungu,