Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu.

  • 1 Timotheo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu.

  • Waebrania 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini tunatamani kila mmoja wenu aonyeshe bidii ileile ili kuwa na uhakikisho kamili+ wa tumaini+ mpaka mwisho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki