Mambo ya Walawi 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+ Waebrania 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+
23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+
13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+