Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+ Wagalatia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, wale walio wa Kristo Yesu waliutundika mwili mtini pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.+ Yakobo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vita vinatoka chanzo gani na mapigano yanatoka chanzo gani katikati yenu? Je, havitoki katika chanzo hiki,+ yaani, katika tamaa zenu za mwili zinazoendeleza pambano katika viungo vyenu?+
5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+
24 Zaidi ya hayo, wale walio wa Kristo Yesu waliutundika mwili mtini pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.+
4 Vita vinatoka chanzo gani na mapigano yanatoka chanzo gani katikati yenu? Je, havitoki katika chanzo hiki,+ yaani, katika tamaa zenu za mwili zinazoendeleza pambano katika viungo vyenu?+