19 Ndipo malaika+ wa Mungu wa kweli aliyekuwa akienda mbele ya kambi ya Israeli akaondoka na kwenda nyuma, nayo nguzo ya wingu ikaondoka mbele yao na kusimama nyuma yao.+
35 Musa huyo, ambaye hao walimkana, wakisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi?’+ mtu huyo Mungu alimtuma+ aende akiwa mtawala na pia mkombozi kwa mkono wa malaika aliyemtokea katika mti wa miiba.