Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo malaika+ wa Mungu wa kweli aliyekuwa akienda mbele ya kambi ya Israeli akaondoka na kwenda nyuma, nayo nguzo ya wingu ikaondoka mbele yao na kusimama nyuma yao.+

  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+

  • Kutoka 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitamtuma malaika mbele yako+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, na Wahiti na Waperizi, Wahivi na Wayebusi;+

  • Matendo 7:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Musa huyo, ambaye hao walimkana, wakisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi?’+ mtu huyo Mungu alimtuma+ aende akiwa mtawala na pia mkombozi kwa mkono wa malaika aliyemtokea katika mti wa miiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki