Kutoka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+ Matendo 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+
14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+
27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+