Kutoka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akasema: “Ni nani aliyekuweka kuwa mkuu na mwamuzi wetu? Je, unapanga kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?”+ Basi Musa akaogopa na kusema moyoni: “Bila shaka jambo hilo limejulikana!”
14 Akasema: “Ni nani aliyekuweka kuwa mkuu na mwamuzi wetu? Je, unapanga kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?”+ Basi Musa akaogopa na kusema moyoni: “Bila shaka jambo hilo limejulikana!”