Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+ Kutoka 40:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+ Hesabu 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nalo wingu+ la Yehova lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipokuwa wakipiga mwendo kutoka katika kambi. Nehemia 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe ukawaongoza kwa nguzo ya wingu wakati wa mchana,+ na kwa nguzo ya moto wakati wa usiku,+ ili kuwaangazia+ njia wanayopaswa kuipitia. Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+ Zaburi 105:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Alitandaza wingu lifunike,+Na moto utoe nuru wakati wa usiku.+
21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+
36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+
34 Nalo wingu+ la Yehova lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipokuwa wakipiga mwendo kutoka katika kambi.
12 Nawe ukawaongoza kwa nguzo ya wingu wakati wa mchana,+ na kwa nguzo ya moto wakati wa usiku,+ ili kuwaangazia+ njia wanayopaswa kuipitia.