Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+

  • Waamuzi 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Debora akamwambia Baraka: “Simama, kwa maana hii ndiyo siku ambayo Yehova hakika atamtia Sisera mkononi mwako. Je, Yehova siye ambaye ameenda mbele yako?”+ Na Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori akiwa na wanaume elfu kumi nyuma yake.

  • Isaya 45:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki