Nehemia 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nawe ukawapa roho+ yako njema ili kuwapa hekima, nawe hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na maji ukawapa kwa ajili ya kiu yao.+ Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
20 Nawe ukawapa roho+ yako njema ili kuwapa hekima, nawe hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na maji ukawapa kwa ajili ya kiu yao.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+