Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ichukue fimbo+ na kuliita kusanyiko pamoja, wewe na Haruni ndugu yako, nanyi mtauambia mwamba mbele ya macho yao ili kwa kweli utoe maji yake; nawe utawatolea maji kutoka katika mwamba na kuwapa maji kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo.”+

  • Kumbukumbu la Torati 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+

  • Zaburi 105:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Alifungua mwamba, na maji yakaanza kutiririka;+

      Nayo yakapita katika maeneo yasiyo na maji kama mto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki