15 Nawe ukawapa mkate kutoka mbinguni kwa ajili ya njaa yao,+ na kutoka katika mwamba ukawaletea maji kwa ajili ya kiu yao,+ nawe ukawaambia waingie+ na kuimiliki nchi ambayo kwa kiapo ulikuwa umeuinua mkono wako ili kuwapa.+
20 Mnyama wa mwituni atanitukuza,+ mbwa-mwitu na mbuni;+ kwa sababu nitakuwa nimewapa maji hata katika nyika, mito katika jangwa,+ ili kuwafanya watu wangu, mchaguliwa wangu,+ wanywe,
21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+