Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe ukawapa mkate kutoka mbinguni kwa ajili ya njaa yao,+ na kutoka katika mwamba ukawaletea maji kwa ajili ya kiu yao,+ nawe ukawaambia waingie+ na kuimiliki nchi ambayo kwa kiapo ulikuwa umeuinua mkono wako ili kuwapa.+

  • Zaburi 78:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Aliipasua miamba nyikani,+

      Ili awanyweshe kwa wingi kama vilindi vya maji.+

  • Zaburi 105:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Alifungua mwamba, na maji yakaanza kutiririka;+

      Nayo yakapita katika maeneo yasiyo na maji kama mto.+

  • Zaburi 114:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ambaye anabadili mwamba kuwa dimbwi la maji lenye matete,+

      Jiwe gumu kuwa bubujiko la maji.+

  • Isaya 43:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mnyama wa mwituni atanitukuza,+ mbwa-mwitu na mbuni;+ kwa sababu nitakuwa nimewapa maji hata katika nyika, mito katika jangwa,+ ili kuwafanya watu wangu, mchaguliwa wangu,+ wanywe,

  • Isaya 48:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki