Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+ Isaya 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini wewe, Ee Israeli, ni mtumishi wangu,+ wewe, Ee Yakobo, ambaye nimemchagua,+ uzao wa Abrahamu+ rafiki yangu;+ Isaya 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na sasa sikiliza, Ee Yakobo mtumishi wangu,+ na wewe, Ee Israeli, ambaye nimekuchagua.+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
8 “Lakini wewe, Ee Israeli, ni mtumishi wangu,+ wewe, Ee Yakobo, ambaye nimemchagua,+ uzao wa Abrahamu+ rafiki yangu;+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+