Mathayo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya. Waebrania 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kwa kweli yeye hawasaidii malaika hata kidogo, bali anasaidia uzao wa Abrahamu.+
9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.