Yohana 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakamjibu: “Sisi ni uzao wa Abrahamu+ nasi hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote.+ Kwa nini basi unasema, ‘Ninyi mtakuwa huru’?” Yohana 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.
33 Wakamjibu: “Sisi ni uzao wa Abrahamu+ nasi hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote.+ Kwa nini basi unasema, ‘Ninyi mtakuwa huru’?”
39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.