Waroma 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje juu ya mwili.+ Waroma 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao. Wagalatia 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana shaka mnajua kwamba wale wanaoshikamana na imani+ ndio wale walio wana wa Abrahamu.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje juu ya mwili.+
8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+